Suluhisho Kamili la Kusimamia Mgahawa
Rekodi Mauzo, Manunuzi, Mapishi, Orodha ya Vyakula, wafanyakazi na wateja wote kwa mfumo mmoja wa kisasa wa kidijitali.

Simamia Mgahawa Wako kwa Ufanisi

Boresha Usimamizi wa Oda
Usikose oda tena. Oda zote za wateja wako, iwe za kula ndani au kuchukua, zimepangwa vizuri na zinapatikana kirahisi.
Boresha Uhifadhi wa Meza
Boresha matumizi ya meza kwa kufuatilia uhifadhi na meza kwa wakati halisi. Punguza muda wa kusubiri na hakikisha meza zote zinatumika ipasavyo, kuboresha uzoefu wa wateja na kuongeza faida.


Usimamizi Rahisi wa Menyu
Ongeza, Badilisha, au ondolea vitu kwenye menyu yako kwa urahisi wakati wowote. Onyesha ofa maalum, sasisha bei, na hakikisha kila kitu kinasasishwa kwenye Pande zote, ili wafanyakazi na wateja wako wawe na taarifa za hivi punde.
Vipengele Vyenye Nguvu Vilivyoundwa Kukuza Ufanisi wa Uendeshaji wa Mgahawa Wako
Menyu ya QR Code
Toa oda kwa kutumia Simu yako
Lipia Oda Automatiki
Seti malipo ya Oda kwa Lipa namba Au cadi
Usimamizi wa Wafanyakazi
Pangilia ruhusa na majukumu ya wafanyakazi kulingana na vitengo vyao.
Mfumo wa Uuzaji (POS)
Imetengenezwa na Mfumo wa Kisasa wa Mauzo
Mpangilio wa Maeneo
Buni Mpangilio wa Meza za Mgahawa Wako
Tiketi za Oda za Jikoni (KOT)
Ufanisi katika Mchakato wa Oda Jikoni
Uchapishaji wa Bili na Risiti
Bili na Risiti za Haraka na Sahihi
Ripoti
Pata ripoti zote kuhusiana na Mgahawa wako.
Maoni ya Wateja Wetu
" Tulikuwa tunatumia karatasi na kalamu kusimamia oda – ilikuwa machafuko! e4resto imetupa suluhisho la kisasa linalorahisisha kila kitu. POS ni rahisi kutumia, na ripoti zake zimetusaidia sana kwenye maamuzi ya biashara. "
Jackson M.
-Meneja wa Urban Bites
" e4resto imenisaidia kuongeza ufanisi katika biashara yangu ya kahawa. Kila kitu kiko mtandaoni – hakuna tena kukosa oda au kupoteza taarifa. Naipenda sana kwa sababu inaendana na lugha yetu! "
Mariam Junior
-Mmiliki wa Jozee Café
" Nimejaribu mifumo mingi ya POS lakini e4resto ni rahisi kutumia na inatoa kila kitu ninachohitaji. Kuanzia oda, meza hadi ripoti — kila kitu kiko sawa. Pia huduma kwa wateja wao ni ya haraka na msaada mkubwa. "
Salma Michael
-Mmiliki wa Fasta Fasta Restaurant
Simple, Transparent Pricing
Get everything you need to manage your restaurant with one affordable plan.
Silver
TZS 39,000.00 Pay Monthly
TZS 450,000.00 Pay Annually
Gold
TZS 50,000.00 Pay Monthly
TZS 590,000.00 Pay Annually
TZS 39,000.00 Pay Monthly
TZS 450,000.00 Pay Annually
TZS 50,000.00 Pay Monthly
TZS 590,000.00 Pay Annually
- Menu
-
-
- Menu Item
-
-
- Item Category
-
-
- Area
-
-
- Table
-
-
- Reservation
-
-
- KOT
-
-
- Order
-
-
- Customer
-
-
- Staff
-
-
- Payment
-
-
- Report
-
-
- Settings
-
-
- Delivery Executive
-
-
- Waiter Request
-
-
- Expenses
-
-
- Change Branch
-
-
- Export Report
-
-
- Table Reservation
-
-
- Payment Gateway Integration
-
-
- Theme Setting
-
-
Your questions, answered
Answers to the most frequently asked questions.
e4resto ni nini?
e4resto ni mfumo wa kisasa wa POS na usimamizi wa migahawa unaotegemea mtandao (cloud-based). Unakusaidia kusimamia mauzo, oda, bidhaa, meza, wahudumu, na ripoti zote kwa urahisi.
Ninaweza kutumia e4resto kwenye mgahawa wa aina gani?
e4resto inafaa kwa aina zote za migahawa: fast food, café, Coffee Shop, hotel, pub au Bar na Restaurant.
Je, kuna uwezo wa kuchapisha risiti au oda jikoni?
Ndiyo. e4resto inasaidia uchapishaji wa risiti kwa wateja na oda kwa jikoni (kitchen & waiter printer). Inafanya kazi na vichapishi vya kawaida vya POS yaani Thermal Printer size"88mm".
Je, mfumo huu una dashboard ya kuona ripoti?
Ndiyo. Unaweza kuona ripoti za Mauzo, Manunuzi,Oda ,Matumizi bidhaa zilizouzwa zaidi, na utendaji wa wafanyakazi—all in real time.
Je, data yangu iko salama kwenye e4resto?
Ndiyo. Tunatumia teknolojia ya kisasa ya usalama (SSL,CSRF Protection,SQL Injection Prevention,Password Hashing,XSS (Cross-Site Scripting) Protection & backups) kuhakikisha taarifa zako zinalindwa dhidi ya upotevu au udukuzi.
Je, kuna msaada wa kiufundi?
Ndiyo. Timu yetu ya e4resto iko tayari kusaidia kupitia WhatsApp, simu, au barua pepe. Msaada upo 24/7 kwa wateja wa kulipia.
Contact

Our address
Dar es Salaam
Makumbusho Near Misuma HotelOur Email
Phone :
+255 622 474 717
+255 763 515 672